Pata Kisima na Bwawa bora kwa gharama nafuu na kwa kujali thamani halisi ya pesa yako

KM - MoW akikagua mitambo ya Uchimbaji Visima na Ujenzi wa Mabwawa

Posted on: July 19th, 2019

Mkurugenzi Mkuu (DG) wa Wakala ya Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mhandisi Gonsalves Rutakyamirwa akitoa maelezo mbele ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo kuhusu aina na idadi ya mitambo inayotumika kuchimba visima na kujenga Mabwawa kote nchini na nje ya nchi. Tukio  hili ilifanyika wakati Prof.Kitila Mkumbo alipotembelea Wakala kuangalia rasilimali vitu na kuongea na rasilimali watu waliopo wakati huu wa kipindi cha mpito.